ROSE MUHANDO AJIUNGA RASMI NA CCM

Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho unaofanyika Mjini Dodoma.

Comments

Popular posts from this blog

UJUE UMBALI KUTOKA DAR KWENDA MIKOA MBALIMBALI..

RASTAFARI MWENYE NYWELE NDEFU KULIKO WOTE TANZANIA

WATU WEUSI TUNA AKILI NDOGO ???